Friday, March 18, 2016

 Ongezeko la magonjwa pamoja na unene uliopindukia vinasababishwa na ukosaji wa elimu ya sayansi ya vyakula. Unafahamu aina ya vyakula? Unafahamu ni kiasi gani unapaswa kula chakula na kwa muda upi?

Baadhi wanauelewa lakini wamesahau. Wengine hawafahamu kabisa lakini wengi tunapuuzia kwani hatufuatilii kabisa.

Pitia blog hii mara kwa mara utambue ni nini na vipi unapaswa kula ili kuwa na afya njema. Utatambua magonjwa yaliyopo na yanayoibuka kwa kukosa lishe bora.

No comments:

Post a Comment